
March 8 2017 Dar es Salaam ilikubwa na mvua ambayo imesababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo ya Jiji; ikiwemo Tabata na Jangwani Dar es Salaam ndio maeneo yaliyoonekana kuathirika zaidi na Mvua hiyo. Pichani ni ya baadhi ya mmaeneo ya jiji hilo..!
0 comments:
Post a Comment